Uhamishaji wa Fedha Haramu Nchini Kenya

Uhamishaji wa fedha haramu ni njia ambazo fedha au rasilimali hutumiwa ili kutoka nchi moja hadi nyingine. Uhamishaji huu wa fedha haramu huathiri usalama wa nchi kwa kudhoofisha taasisi za kiserikali, kuathiri utekelezaji wa mifumo bora ya kisheria, na kusababisha nchi kukosa uwezo wa kupambana na umaskini. SOMA ZAIDI…

1088

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *