Transparency International-Kenya
Uhamishaji wa Fedha Haramu Nchini Kenya
Uhamishaji wa fedha haramu ni njia ambazo fedha au rasilimali hutumiwa ili kutoka nchi moja hadi nyingine. Uhamishaji huu wa fedha haramu huathiri usalama wa nchi kwa kudhoofisha taasisi za kiserikali, kuathiri utekelezaji wa mifumo bora ya kisheria, na kusababisha nchi kukosa uwezo wa kupambana na umaskini. SOMA ZAIDI…